S.O.S AFRIKA

HUDUMA YA USHIRIKIANO NA AFRIKA

 

SISI NI NANI

Shirika hili liliundwa 1992 huko Barcelona, na ni shirika ambalo linajitengmea (yaani halijihusishi na serikali wala dhehebu lolote) katika kuwahudumia binadamu katika miradi ya kujikendeleza wanapopiga hatua kujikomboa kiutamanduni kiuchumi na kisiasa. SOS AFRIKA katika ubora wake ni shirika linalo wahudumia Waafrika na Asúa, huduma kwa watoto na tumaini lao la usoni katika uhuru na heshima. Shirika hili la SOS AFRIKA liko jinsi lilivyo kwa ajili ya wale wanalolizaidia, shukrani.

JUKUMU LETU

Afrika, tumezaidia, na tunasidia na  kukimu shughuli na miradi ya mashirika madogo tulio na mtazamo sawia wa kuchanganua na maono ya Afrika. Fauka ya upungufu wao unaodhirika, kuna wao wanaofahamikiwa na hali zilizoko, tamaduni, lugha, na matanzamo wa watu. Wengi wao wanatafuta suluhisho la kudumu kwa shinda zilizowalemea, hivi ni kusema, wako katika utaratibu na maazimio ya kweli na mahitaji halisi ya wenyeji ukituzaidia umewazaidia.

Katika Europa tunahusika na kufahamisha kupitia kwa (kangamono, semina, tamasha na kozi zinazopendekezwa kwa waafrika waliohama, kampeni za ushirikiano kushutumuna metendo ya uasi). Katika kusadiki unuhimu wa mabadiliko makubwa ya kitabia na mtazamo wa kiulumengu haswa wa serikali.

MADHUMUNI

Kwa sababu shirika la HUA linatabua maendeleo kwa njia ya kujikomboa na kama kupiga hatua kuelekea kujipatia uhuru kamili, waafrika wanaume na wanawake ambao shirika hili linasaidia, (wakizaidiwa na Europa kutoka kwa watu walio na malengo sawia), wanachukua hatua, wanaendelea kuvunja nira na kufanya kazi mashinani katika Afrika ili kawafaida wenyenji katika nyanja zote.

Katika nyanja za afya, lishe, elimu, zaraa, kuzikinduka kisiasa na hali ya kurudia na kuendeleaza tamanduni za wenyaji nk.

Mradi wetu wa kwanza ni binadamu na kuboresha hali yake ya maisha kumsaidia kujikomboa ndiyo lengo letu.

 KUJITOLEA KWETU

Kujitolea kwa HUA ni kuboresha hali ya maisha ya wengi na waafrika, haswa watoto na kuchangua kukuza jamii huru za waafrika.

Kujitolea huku niwajibu wetu ili  kuweza kutimiza malengo yetu ya ukombozi kutokana na njaa, ujinga, kunyimwa, huzuni, dhuluma, yashaka, utengemezi na kwa kifupi utumwa ukombozi huu ni msingi utakao hakikisaha heshima ya binadamu, ustawi, maendeleo, uhuru, amani na haki zote za binadamu.

Sharti la bahatisho hili linabeba maana ya ukweli na dhibitisho na sababu ya matendo ya SOS AFRIKA.

Bila bahatizo hili wanaume na wanawake watapoteza uharali katika nchi zote zinazoelekea kujikomboa.

JINSI YA KUSHIRIKI

Wanahitaji msaada wako, Tunahuitaji. Ukijitia moyo kushirikiana na SOS AFRIKA, pamoja na wanaume na wanawake ambao katika bara la Afrika wanafasha ushirikiano na maendeleo ya ukombozi kuwezekana, unaweza kuchagua kati ya njia zifuatazo kushiriki.

Kama mzaidizi wa HUA  AFRIKA ukiendeleza moradi yake.

Utashiriki katika furaha yako na ustawi. Utashiniki katika kugharamia miradi ya jumuhia za wenyeji wanaohitaji usaidizi wa SOS AFRIKA. Kwa mchango wako wa kila mwezi, utakuwa mshiriki wa kweli. Kutoka kwa “kuinua” ushirikiano utaweza kusaidia ili kuwezesha waafrika wenyewe “in situ” maana yake kujenga nyumba. Shule kuandaa hospitali, kuchimba visima, kununua mbegu, kuchochea kampeni za kufahamishana kati ya wenyeji, kuzatiti maisha ya kisiasa, kuchochea demokrasia na kuishi pamoja, kuimarisha na kudhamini desturi, kutia nguvu ustahi na kujitengemea kwao, na kudhamini tene tamaduni zao zinazofaa n.k. kwa kifupi utachangia katika maendeleo ya uhuru.

Tafadhali ikiwa unaweza:

Himili wanaume na wanawake wa waafrika wanaofanya ushirikiano kunawezekana kama mdhamini wa kiume ama wa kike wa msichana na mvulana wachanga kiafrika, watoto wa Afrika haswa wa:

  • Equatorial Guinea

  • Kenya

Wengine tayari wanawadhamini wa kiume na wadhamini wa kike. Wengine wengi wanagoja. Udahamini huu wa kibinafsi ni njia mwafaka utaosaindia mvulana au msichana ambaye picha na barua zake tunakutumia. Kwa 20€ utazaidia kuboresha hali ya maisha ya mvulana au msichana huyu. Utazaidia katika elimu ya kimsingi na mahitaji ya kimatibabu ili kumwezesha kufanikiwa katika maisha yake ya usoni kadhalika uzaidizihuu utasaidia watoto wengine na jamii nzima. Shukrani kwa miradi inayohusika.

Tafadhali ukiwa unawenza:

dhamini msichana au mvulana wa Afrika.

Ukiwa mfadhili wa kike au wa kiume kuhusu shirikiano la mtoto mmoja hadi mwingine. Watoto wengi ambao wazazi wao wafadhili watoto wa kiafrika kwa kawaida wanasaidia kwa kuongezea 3€ (500pesetas) kwa ununuzi wa  vifaa vya kusoma vya mtoto anaye fadhiliwa. Unaweza kumshirikisha mvulana wako au msichana wako katika kazi hii nzuri.

Fadhili mvulana au msichana wa kiafrika.

Kama shirika (shule, parokia, jumuia)

Shule nyingi, parokia, na jumuia nyingi wamejitolea katika kuelimisha na matengenezo ya shule nyingi, parokia, na jumuia nyingi wamejitolea katika kuelimisha na matengenezo ya mtoto 1,2 hadi watoto watatu ingefaa zaidi ikiwa wengine wengi wangejitolea.

Fadhili msichana au mvulana wa kiafrika

Kama mshiriki wa mda au katika hali ya kizushi cha ghafla kwa binadamu.

Pia waweza kusaidia katika kuandaa kampeni za ushirikiano na kutoa mchango kwa chama kupitia mojawapo ya mashirika ya benki zifuatazo:

Benki ya MADRID: 2038 9900 60 6000446834

Benki ya SABADELL: 0081 0114 40 00011713124 (Akaounti za wafadhili)

BANESTO:  0030 2549 970000055271

BBVA: 0182 5734 30 0011500022

La CAIXA: 2100 0835 12 0200503096

Kwa:

Kujipatia baadhi ya bidhaa kama shati, pini, vitabu, kadi za krismasi n.k.

Tafadhali ikiwa unaweza:

Toa mchango wako wa ushirikiano na upande mbegu ya uhuru.

 

 

SOS AFRIKA © 2001 · Ronda de la Universidad 20, 1-2 

CAT-08007 BARCELONA (ESPAÑA)

93 412 66 77

93 412 03 45